0


???????????????????????????????
Kushoto ni Raymond balozi wa vijana wa Tanzania kwenye jumuiya ya Afrika mashariki akiwa na Edgar Mosha mwanafunzi Mtanzania aliyekuwa Uingereza kufanya majaribio na Academy ya klabu ya Chelsea akiwa na baba yake David Mosha “The C.E.O” aliyewahi kuwa makamu mkiti klabu ya Yanga ndani ya studio za VOA Washington Dc ikiwa ni sehemu ya ziara yake nchini Marekani.

The BossKulia ni mkuu wa idhaa ya Kiswahili akiwa na Davis Mosha , Edgar na Julieth Luangissa katika ofisi za VOA.
group 
Kushoto Julieth Luangisa, Alex Kassuwi, Edgar na baba yake Davis Mosha.
The Boss3 
Davis Mosha akifanya mahojiano na VOA.Kwa picha zaidi ungana na Sundayshomari.com
Next
Newer Post
Previous
This is the last post.

Post a Comment

 
Top