0




Mh. Davis Mosha akipandisha bendera kama ishara tosha ya kuzindua tawi.
Wananchi wakiwa tayari kwa kumpokea Mh. Davis Mosha kwa ajili ya kufungua tawi lao.


Mgombea Udiwani wa Kata ya Msaranga Mh. Amani Ngowi  akiongea na wana tawi.


Davis Mosha akishukuru ana tawi kwa kukijenga chama baada ya ufunguzi.



Mh Davis Mosha akipandisha bendera kama ishara ya kuzindua tawi




Mh.  Davis Mosha akizindua tawi la pili


 Davis Mosha akibebwa na baadhi ya wanachama wa CCM
 Mh. Davis Mosha akiwa amebebwa na wanachama wa  CCM baada ya kuzindua matawi ya katika kata ya Msaranga.

Post a Comment

 
Top