0
Mwenyekiti wa wajumbe Mkoani Kilimanjaro (kushoto) akimkaribisha Bwana Davis Mosha (katikati) katika kikao chao

Davis Mosha akizungumza na wajumbe wake

Davis Mosha akisikiliza baadhi ya kero wapatazo wajumbe

Mjumbe akitoa akizungumza matatizo wayapatayo pindi wawapo mtaani kunadi sera za mgombe mbunge wao

Bwana Davis Mosha akiwaaga wajumbe wake baada ya kikao

Post a Comment

 
Top