0

Davis Mosha akitupa taka kwenye gari la Manispaa
Davis Mosha akichoma taka akiwa pamoja na wananchi kata ya Shaurimoyo

Baadhi ya wananchi wa Moshi Manispaa wakifanya usafi maeneo ya Shaurimoyo
Davis Mosha akifanya usafi akiwa pamoja na wananchi wa kata ya Shaurimoyo

Davis Mosha (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya (kulia) Bwana Novartus Makunga wakizungumza

Baadhi ya wananchi wakifanya usafi wakiwa pamoja na viongozi wa Manispaa
Afisa mkuu wa afya Manispaa ya Moshi mjini Bwana Sebastian Mgeta akihojiwa na waandishi wa habari




Post a Comment

 
Top